|
Mashinado ya wazi ya gofu ya wanawake yamekosa msisimko
2009-04-27 12:24:31
By ITV Habari
Mashinado ya wazi ya gofu ya wanawake yamekosa msisimko kufuatia idadi ndogo wa washiriki waliojitokeza katika viwanja vya gymkhana kufuatia mvua zililzonesha jijini Dar es Salaam.
Msimamizi wa uwanja huo Roderick John amesema kati ya wachezaji 56 waliojiandikisha 38 ndio waliojitokeza.
|