|
Mawakili wa Zombe walia na Koplo Lema
Posted Fri, May,08 2009
Source Nipashe
Mawakili wa utetezi kwenye kesi ya mauaji ya wafanyabiashara watatu wa madini na dereva teksi mmoja, inayomkabili aliyekuwa Kaimu Kamanda na Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Dar es Salaam, Abdallah Zombe...
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 0
Polisi wawakabili raia kwa risasi
Posted Fri, May,08 2009
Source Nipashe
Polisi wilayani Rorya mkoa wa Mara, wamefyatua risasi za moto katikati ya raia na kuua watu wawili na kuwajeruhi wengine tisa.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 0
Ulipuaji mabomu Dar wawili wazirai
Posted Fri, May,08 2009
Source Nipashe
Watu wawili wamezirai baada ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) jana kufanya zoezi la kulipua mabomu katika kambi yake iliyopo Mbagala jijini Dar es Salaam.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 0
Kibaka aduwaza walinzi Ikulu
Posted Fri, May,08 2009
Source Nipashe
Mfanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es Salaam, Ally Nasoro (41) amefikishwa mahakamani kujibu shitaka la kuingia Ikulu ya Rais Jakaya Kikwete...
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 0
NCCR-Mageuzi Iringa wampongeza Mengi
Posted Fri, May,08 2009
Source Nipashe
Chama cha NCCR-Mageuzi Manispaa ya Iringa, kimempongeza Mwenyekiti wa makampuni ya IPP, Reginald Mengi, kwa kutaja hadharani majina ya watu wanaojihusisha na ufisadi mkubwa na kuwapa jina la `mafisadi papa`.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 0
`Bodaboda` yaua na kujeruhi wanafunzi
Posted Fri, May,08 2009
Source Nipashe
Wanafunzi wawili waliokuwa wanasoma katika Shule ya Sekondari Ikoma wilayani hapa mkoa wa Mara wamepatwa na ajali mbaya iliyosababisha mmoja kufariki...
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 0
Wivu wa mapenzi waua mke Mara
Posted Fri, May,08 2009
Source Nipashe
Mkazi wa Kijiji cha Magange Kata ya Ring`wani, wilayani Serengeti, Mkoa wa Mara, Rose Sagati (24), amefariki dunia baada ya kuvunjwa shingo na mme wake Sagati Mwita, ambaye ni mganga wa kienyeji kwa wivu wa mapenzi.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 0
Necta yawashtukia walimu 68 Euckenford
Posted Fri, May,08 2009
Source Nipashe
Zaidi ya watahiniwa 68 wa walimu ngazi ya cheti daraja la III A kutoka Taasisi ya Elimu ya Euckenford, wameandamana hadi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga, wakilalamikia...
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 0
Mgogoro wa ardhi wamalizika
Posted Fri, May,08 2009
Source Nipashe
Mgogoro uliodumu kwa zaidi ya miaka saba kati ya wawekezaji wa mashamba ya kilimo cha rozela na wananchi wa Kijiji cha Mkalama, Kata ya Msama Rundugai wilayani Hai, umemalizika.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 0
Akamatwa na vifaa vya kutengenezea noti bandia
Posted Fri, May,08 2009
Source Nipashe
Polisi mkoani Shinyanga, inamshikilia Marko Sayi (26), mkazi wa Nyahanga wilayani Kahama baada ya kumkamata akiwa na vifaa mbalimbali vya kutengenezea noti bandia.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 0
|